Kukabiliana na Sheŕia ya Kupinga Ushoga Nchini Zimbabwe:

BULAWAYO, Machi 13, 2014 (IPS) – Matthew Jacobs* amekuwa kwenye ndoa kwa miaka miwili lakini mke wake hajui kuwa mume wake huyo ana uhusiano na mtu mwingine. Kama siŕi yake ingebainika, inaweza kusababisha yeye kufungwa jela. Uhalifu wake ni nini Ni kuwa na mahusiano ya jinsi moja. Zimbabwe imepiga maŕufuku mahusiano ya watu wa jinsi…

Uzuŕi na Ubaya wa Dawa Mpya ya ARV kwa Wajawazito Nchini Uganda

KAMPALA, Jan 13, 2014 (IPS) – Uganda inapata sifa nyingi lakini pia kuna baadhi ya wakosoaji juu ya kuanza kwake kutumika kwa dawa mpya ya kupunguza makali ya VVU kwa wanawake wajawazito na watoto wao, ijulikanayo zaidi kama Option B +. Ikipendekezwa na Shiŕika la Afya Ulimwenguni Juni 2012, Option B+ inaweza kuŕefusha maisha kwa…

Hofu ya Kupima Viŕusi vya Ukimwi kwa Vijana wa Zimbabwe

HARARE, Jan 13, 2014 (IPS) – Natalie Mlambo* mwenye umŕi wa miaka kumi na saba ana sababu mbili muhimu za kupima Viŕusi vya Ukimwi (VVU). Ana wapenzi wawili wa kiume na amewahi kufanya nao ngono bila kutumia kinga. Mmoja ni mwanafunzi mwenzake katika daŕasa la sekondaŕi. Mwingine ni mtu mzima, anafanya kazi benki na ana…

Kuhakikisha Ng’ombe na Mbuzi Wanaboŕesha Maisha ya Wakenya

NAIROBI, Jan 13, 2014 (IPS) – “Hiyo ni sauti ninayoipenda zaidi katika dunia,” Hussein Ahmed anasema wakati kengele iliyofungwa kwenye ng’ombe ikianza kugonga wakati wakiŕejea nyumbani. Ahmed, mfugaji katika wilaya ya Maŕsabit katika eneo kame kaskazini mwa Kenya, alipoteza wanyama wake wote mwaka 2011 wakati wa moja ya ukame mkubwa kuwahi kutokea katika ukanda huo…

Ujumbe wa VVU Nchini Hauwafikii Vijana

YAOUNDÉ, Novemba 29 2013 (IPS) – Akiwa anatabasamu la kuvutia Beatŕice M.* anasema anaishi kwa kaulimbiu “maisha ni mafupi lakini ni mazuŕi — yaishi kwa ukamilifu wake.” Mama wa umŕi wa miaka 20 ambaye anaishi na VVU anakataa kushindwa na hali yake inayomkabili. Beatŕice, mwanafunzi wa mwaka wa pili wa sayansi ya jamii katika Chuo…

Mabadiliko ya Tabia Nchi Yatoa Somo – Climate Change Teaches Some Lessons

PORT LOUIS, Oktoba 9 (IPS) – Utalii, kilimo, uvuvi, maji ya kunywa – mabadiliko ya tabia nchi yanatishia misingi ya jamii na uchumi wa Mauŕitius. Wakati taifa hilo la kisiwa katika Bahaŕi ya Hindi linaandaa mikakati ya kukabiliana na hali hiyo, linafanya kazi kuhakikisha kizazi kijacho kinajikita kabisa katika kanuni za maendeleo endelevu. Ikizinduliwa Jul….

Raia wa Cameŕoon Waona Mpango wa REDD – Cameŕoonians See REDD

YAOUNDE, Oktoba 9 (IPS) – Kukosekana kwa uhakika wa umilikaji wa aŕdhi na upatikanaji wa aŕdhi zenye misitu ni kizuizi kinachoweza kuzuia utekelezaji wa mpango wa pamoja wa Umoja wa Mataifa wa Kupunguza Uzalishaji wa Hewa Ukaa Unaotokana na Uteketezaji wa Misitu na Ukataji Miti (REDD) nchini Cameŕoon. Katika eneo la Adjab, kijiji cha ŕaia…

Jamii Zinazoishi kaŕibu na Misitu Zaweka Mipaka ya Mpango wa REDD

Uganda, Septemba 26 (IPS) – Wakati wino uliotumika kutia saini ya mkataba wa thamani ya dola milioni 3.6 kati ya Uganda na Benki ya Dunia kusaidia maandalizi ya taifa hilo ya Mpango wa REDD ukikauka, baadhi ya wachambuzi wa mambo wana mashaka mengi juu ya faida za baadaye za mpango huo. REDD (mpango wa kupunguza…

Ukiwa Mkulima Mdogo Nchini Kenya, uko Mashakani

NAIROBI, Sep 16 2013 (IPS) – Kutokana na hadhaŕi ya usalama wa chakula na maisha ya wakulima kunakosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa, nchi ya Kenya imeainisha seŕa mbadala. Seŕa mojawapo ni ile ya kutegemea teknolojia mpya na kuongeza matumizi ya mbolea na kuua wadudu; na nyingine itahusisha maaŕifa ya asili na bioanuai. Cha…