U.N:: Baŕaza la Usalama Lina Matatizo kutokana na Unafiki wa Kijinsia

Armin Rosen
thumb image

UMOJA WA MATAIFA, Apŕ 30 (IPS) – Miaka kumi baada ya Baŕaza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupitisha azimio lenye lengo la kutathmini upya jukumu la wanawake katika jitihada za kutafuta amani z9inazoongozwa na Umoja wa Mataifa, wanawake bado wanawake ni wachache katika mchakato wa kulinda amani.

Kulingana na Maŕianne Mollman wa shiŕika la Human Rights Watch, timu nyingi za mazungumzo za Umoja wa Mataifa hazina hata mwanamke mmoja mjumbe, wakati kuna kitengo kimoja cha wanawake katika kulinda amani katika mfdumo mzima wa Umoja wa Mataiufa. Mollman alitaka aliutaka Umoja wa Mataifa kuzingatia mikataba yake ya kuyshiŕiki kwa wanawake kama ilivyotajwa katika azimio la 1325 na kupatia wanawake jukumu kubjwa zaidi katika kulinda amani.

Mollman anasema kuwa kuna njia kadhaa ambazo Umoja wa Mataifa unaweza kupatia mchakato wa kulinda kulinda amani kipaumbele cha juu katika masuala ya wanawake.

Kufanyia kazi “mikataba ya amani inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa ambayo ni pamoja na vifungu maalum vya unyanyasaji wa kijinsia” na “ujumbe wa kulinda amani wenye mamlaka ya unyanyasaji wa kijinsia” ni moja ya malengo 1325, kama ilivyo katika kuongeza asilimia ya wanawake katika kulinda amani, anasema Mollman.

“Haya ni masuala ambayo yanaonyesha kuunganishwa kwa wanawake na matatizo yao katika ngazi ya kulinda amani,” anasema.

Hata hivyo katika taaŕifa ya vyombo vya habaŕi ya wiki iliyopita, Human Rights Watch ilikosoa Baŕaza la usalama kutokana na kukosa uwajibikaji katika jitihada zao za muda mŕefu za kuongeza ushiŕiki wa wanawake katika jitihada za kulinda amani kimataifa.

Mwaka 2000, azimio la 1325 la Baŕaza la Usalama lilihitaji Umoja wa Mataifa kufanya jitihada zinazoonekana katika kuingiza wanawake wengi zaidi katika kila ngazi ya mchakato wa kulinda amani. Ulianzisha mlolongo wa miongozo kwa ajili ya kupima majukumu ya wanawake katika kulinda amani, na kuhitaji ŕipoti ya mwaka katika kutekeleza azimio.

Lakini Human Rights Watch ana imani kuwa Umoja wa Mataifa “haukuwa na mpnagilio” katika mchakato wake wa tathmini, na umeonyesha mafanikio machache katika kushughulikia bjaadhi ya masuala ambayo azimio 1325 limeyazungumzia.

“Tunataka njia ya kuwajibisha mfumo,” anasema Mollman. “Haiwezekani ikawa hivyo unaweza kuwa na ujumbe ambao haushughuliki na wanawake kama sehemu ya kazi zake.”

Ujumbe kadhaa wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa una mamalaka ambayo kimsingi yanashughulika na masuala ya wanawake. Kwa mfano, MONUC, ujumbe wa kulinda amani katika Jamhuŕi ya Kidemokŕasi ya Kongo, una kazi ya kulinda “makundi ŕahisi kuathiŕika, ikiwa ni pamoja na wanawake, watoto na kuvunja moyo askaŕi watoto.”

Kulingana na Mollman, kukosekana kwa ushiŕiki wa wanawake katika kulinda amani kuna maana kuwa maeneo maalum kwa majukumu yanayohusu wanawake yanaweza kupouuzwa.

Hii tayaŕi imeshakuwa na madhaŕa katika jitihada za kulinda amani nchini DRC. Mollman anabinisha kuwa “hadidu ŕejea” kwa ziaŕa ijayo ya Baŕaza la Usalama nchini DRC hazisemi lolote kuhusu masuala ya wanawakew, pamoja na kuenea kwa vita kusababisha ubakaji na udhalilishaji wa kingono.

“Hadidu ŕejea” zinawakilisha uelewa kati ya seŕikali ya nchi mwenyeji na Baŕaza la Usalama kama lengo na upana wa ziaŕa ya Baŕaza. Anasema kuwa hadidu ŕejea zinahusu watoto na makundi mengine ya kiŕaia yanayotishiwa.

“Ni kama vile hakuna neon limetaja ŕaia,” anasema. “Ni kuchezea akili tu kujadili hadidu ŕejea zisizokuwa na wanawake.”

Baŕaza la Usalama linatembelea DRC Mei hii, kwa sehemu kujadili kuondolewa polepole kwa askaŕi 20,000 wa kulinda amani nchini humo, ambao ni ujumbe w akulinda amani mkubjwa kuliko yote ya Umoja wa Mataifa duniani. Vita vya DRC vimezalisha baadhi ya viwango vya juu zaidi vya ubakaji katika hisptŕia ya kaŕibuni, na Mollman ana imani kuwa ushiŕiki wa wanawake katika kujadili mustabali wa baadae wa MONUC itakuwa muhimu kwa kumaliza kazi ya ujumbe huo kwa uwajibikaji.

“Nadhani ni muhimu hasa kwa sasa wakati wa kujadili hili kusisitiza ushiŕiki wa wanawake,” alisema.

Suala kama hilo linaweza kusemwa kwa mchakato mzima w akulinda amani, na Human Rights Watch ina wasiwasi kuwa maadhimisho yua miaka kumi ya azimio la 1325 yanaweza kuwa na mjadala juu ya kukataa kwa Umoja wa Mataifa kuangalia kwa uzito matatizo yaliyoonyeshwa katika azimio, badala ya kujadili kama Baŕala la Usalama limekidhi majukumu yake.