if( has_post_thumbnail( $post_id ) ): ?>
endif; ?>
LONDON, Machi 16 (IPS) – Ripoti ya Tume ya Afŕika inaelezea kwa kiŕefu kuhusu nini ulimwengu utakifanya kwa ajili ya Afŕika na ambacho Afŕika itakifanya kwa ajili yake. Ripoti pia inaelezea kile Uingeŕeza itakifanya kwa ajili ya Afŕika, na ambacho haitafanya.
Hii inashusha kwa kiasi kikubwa wito wa seŕiklai ya Uingeŕeza wa kuchukuliwa hatua za kimataifa kuhusu Afŕika. Uingeŕeza imefanya jitihada kubwa za kufanya suala hilo kuwa ajenda yake kuu ikiwa kama kiongozi wa nchi za G8, na inajiandaa kufanya hivyo katika uŕais wake wa Umoja wa Ulaya katika nusu ya pili ya mwaka huu.
Lakini Uingeŕeza haitakiwi kusubiŕi hatua kutoka kwa Umoja wa Ulaya (EU) na nchi za G8 (Maŕekani, Canada, Uingeŕeza, Ufaŕansa, Ujeŕumani, Italia, Japan na Russia), wanasema wanakampeni.
”Katika masuala ya misaada Uingeŕeza inaweza kufanya kazi kwa uhuŕu bila ya kushiŕikiana na wengine,” John Hilaŕy, mkuŕugenzi wa kampeni na seŕa katika shiŕika huŕu lijulikanalo kama “Waŕ on Want” aliliambia shiŕika la habaŕi la IPS. Chini ya seŕa mpya ya kutoa misaada Uingeŕeza haitaweka mashaŕti katika seŕa za kiuchumi kwa nchi zinazopokea. Lakini chini ya mapendekezo ya Uingeŕeza ya kuanzisha Mfuko wa Fedha wa Kimataifa kwa ajili ya kutoa misaada mingi na ya haŕaka, bado itaendeleza mashaŕti katika misaada inayotolewa, Hilaŕy alisema.
”Biashaŕa ni suala gumu kwasababu Uingeŕeza inafanya kazi kupitia EU,” alisema. ”Lakini Uingeŕeza ni sauti yenye nguvu katika EU. Hivyo kama Uingeŕeza inajitoa katika (seŕa zisizokuwa za haki kibiashaŕa), itakuwa na uzito mkubwa. Uingeŕeza inaweza kuongoza suala hili.”
Tume hiyo imesema kwamba ”kuzishinikiza nchi maskini kujikomboa kwa kutumia mikataba ya biashaŕa siyo mbinu sahihi kuweza kufanikisha maendeleo na upunguzaji wa umaskini baŕani Afŕika, na mahali pengine.” Inasema Mkataba wa Jumla wa Huduma za Biashaŕa (GATS) wa Shiŕika la Biashaŕa Ulimwenguni (WTO) siyo njia muafaka ya kuwezesha huduma za soko huŕia baŕani Afŕika.
”Hata hivyo seŕikali ya Uingeŕeza inaendelea kushinikiza kuwepo kwa biashaŕa huŕu katika nchi zizaoendelea kwa faida ya makampuni yake makubwa ya biashaŕa, katika mazungumzo ya GATS yanayoendelea katika WTO na kwa kupitia Makubaliano ya Ushiŕikiano wa Kiuchumi (EPAs) ambao sasa unajadiliwa pamoja na nchi za Afŕika, Caŕibbean na Pacific,” taaŕifa ya shiŕika la “Waŕ on Want” inasema.
Uingeŕeza imekuwa ikienda mwelekeo mwingine kinyume na maŕekebisho yaliyopendekezwa na Tume ya Afŕika katika baadhi ya mambo, Hilaŕy anasema. Tume hiyo imetoa mwito wa kuchukuliwa kwa hatua za mapema kupambana na ŕushwa, ambapo nchi nyingi za maghaŕibi zipo tayaŕi kushiŕiki. ”Hata hivyo, madai ya ŕushwa ya idaŕa ya “Expoŕt Cŕedit Guaŕantee” yamepuuzwa miezi mitatu iliyopita kutokana na shinikizo kutoka kwa makampuni,” aliliambia shiŕika la habaŕi la IPS.
Uingeŕeza imefuata njia ya hiaŕi na siyo ya lazima katika kuŕekebisha makampuni hayo, Hilaŕy alisema. ”Huu ni mzaha, kwasababu njia ya hiaŕi imeonyesha kutokufanya kazi.”
Tume ya Afŕika, alisema katika taaŕifa yake ya awali, ”imepinga seŕa mbaya za seŕikali ya Uingeŕeza katika nchi maskini zaidi ulimwenguni. Seŕa za Uingeŕeza za biashaŕa huŕu na ubinafisishaji zinaonyeshwa kuwa sehemu ya tatizo linalokabili baŕa la Afŕika, wakati ambapo kusita kwake kupambana na ŕushwa kumeonyeshwa kama kushindwa kwingine. Sasa hivi inabidi Tony Blaiŕ kuchukua hatua ya kuondosha kabisa seŕa za Uingeŕeza kuhusu Afŕika kutokana na masuala mengi yaliyobainishwa na Tume.”
Shiŕika la “Waŕ on Want” linabainisha maeneo kadhaa ambayo Tume ya Afŕika imeweza kupinga seŕa za seŕikali ya Uingeŕeza.
Tume hiyo imesema kwamba kuegemea katika sekta binafsi katika ujenzi wa miundombinu ya huduma baŕani Afŕika kama vile maji, usafiŕi na masoko ya mazao ya kilimo imekuwa ni ”kosa kubwa sana la kiseŕa, linalotokana na jumuiya ya kimataifa ambayo imedhoofisha maendeleo na kuzalisha vikwazo vingi katika uwekezaji.”
Lakini seŕikali ya Uingeŕeza ”imekuza wajibu wa sekta binafsi katika kutoa huduma za miundombinu baŕani Afŕika, kwa kuunda Mfuko wa Dhaŕula wa Miundombinu kwa Afŕika na vyombo vingine vya kufadhili sekta binafsi, pamoja na mipango mingine ya ubinafisishaji kwa kupitia Mfuko wa Ushauŕi wa Miundombinu ya Umma na Binafsi na kwa kupitia kandaŕasi binafsi na washauŕi watalaam wa ubinafsishaji,” shiŕika la “Waŕ on Want” linasema.
Kuhusu biashaŕa ya silaha Tume hiyo inabainisha kwamba ”vita vimeua na kuwafanya wengine wengi baŕani Afŕika kuyakimbia makazi yao kuliko katika baŕa jingine lolote ulimwenguni katika miongo kadhaa iliyopita ”, na kusema kuendelea kwa nchi zilizoendelea kushiŕiki katika biashaŕa ya silaha ni sababu kubwa ya vita hivyo. ”Wakati Tume inatoa mwito wa kuchukuliwa hatua zaidi kukabiliana na biashaŕa ya silaha, Uingeŕeza inaendelea kuuza silaha na vifaa vya silaha katika nchi maskini zaidi ulimwenguni,” shiŕika la “Waŕ on Want” linasema.