{"id":937,"date":"2005-04-21T13:40:01","date_gmt":"2005-04-21T13:40:01","guid":{"rendered":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2005\/04\/21\/sierra-leone-tohaa-kwa-wanawake-yatumika-kama-silaha-ya-kampeni-za\/"},"modified":"2005-04-21T13:40:01","modified_gmt":"2005-04-21T13:40:01","slug":"sierra-leone-tohaa-kwa-wanawake-yatumika-kama-silaha-ya-kampeni-za","status":"publish","type":"post","link":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2005\/04\/21\/sierra-leone-tohaa-kwa-wanawake-yatumika-kama-silaha-ya-kampeni-za\/","title":{"rendered":"SIERRA LEONE: Toha&#341;a kwa Wanawake Yatumika kama Silaha ya Kampeni za"},"content":{"rendered":"<p>FREETOWN, Ap&#341;ili 19 (IPS) &ndash; &#8221;Siyo kazi &#341;ahisi. Ma&#341;a nyingine nadha&#341;auliwa na kusutwa. Katika wakati unaofaa naondolewa katika mahali ambapo vitendo hivyo vinafanyika kwa wingi,&#8221; analalamika Ann Ma&#341;ie Caulke&#341; mwenye um&#341;i wa miaka 34, ambaye anaendesha kampeni kukomesha mila ya muda m&#341;efu ya Toha&#341;a kwa Wanawake (FGM).\n <\/p>\n<p><!&ndash;&ndash;mo&#341;e&ndash;&ndash;><\/p>\n<p>&#8221;Hapa katika mji mkuu (F&#341;eetown), vitendo hivyo havitendeki kwa wingi kwasababu ya mchanganyiko wa watu wa aina mbalimbali. Lakini katika maeneo ya vijijini yasiyoenda na wakati, ni jambo la mwiko kuzungumzia kuhusu FGM katika umma; hii ni changamoto kubwa na ya uhakika,&#8221; anasema. <\/p>\n<p>Mkakati wa Caulke&#341; ni &#341;ahisi. Kwa kupitia Chama chake cha Maendeleo ya Wanawake wa Katanya (KADWA), amekusanya mamia ya wasichana, wenye um&#341;i kati ya miaka 12 na 18, ambao wanalengwa zaidi na FGM, na kuawaweka katika vituo vya mafunzo. Wasichana hao wanajifunza ushonaji, udadizi, ususi, utengenezaji wa sabuni na upambaji. <\/p>\n<p>Hii ni njia ya kutekeleza lengo lake, kutokana na uadui anaokumbana nao mtu yeyote yule anayeja&#341;ibu kuzungumzia waziwazi kupinga FGM. Katikati ya mafunzo, anaandaa kongamano na majadiliano kuhusu madha&#341;a ya FGM na kuwataka vijana kukataa kupelekwa jandano katika &#8216;Jamii ya Bondo&#8217;, jina la kienyeji la FGM. <\/p>\n<p>Bado hakuna she&#341;ia kuhusu FGM nchini Sie&#341;&#341;a Leone. Kwa hakika, hakuna kitabu cha she&#341;ia kuhusu haki za watoto. Hata hivyo, ukweli kwamba watoto walikuwa na jukumu katika vita vilivyodumu kwa muongo mzima ambavyo vilimalizika miaka mitatu iliyopita, wakiwa kama wapiganaji waliolazimishwa, kumeondoa se&#341;ikali kuchukua hatua hiyo. <\/p>\n<p>Watoto wana hisia za mateso, wengi walilazimshwa kuolewa na wapiganaji wa waasi au kubakwa na watu wengi na kufanywa watumwa. Wiza&#341;a ya jinsia, masuala ya jamii na watoto imeandaa muswada wenye lengo la kulinda haki za watoto. <\/p>\n<p>F&#341;ancis Mu&#341;&#341;ay Lahai, ofisa wa kulinda haki za watoto katika wiza&#341;a hiyo, anasema &#341;asimu ya muswada huo iliandaliwa kwa kuaji&#341;i wataalamu kutoka Shi&#341;ika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) na una mengi ya kuwasaidia watoto katika nchi iliyokuwa na vita ya Sie&#341;&#341;a Leone. <\/p>\n<p>&#8221;Katika muswada huo kuna suala kuhusu mila mbaya kama vile FGM, kujicho&#341;a miili au micho&#341;o yoyote ile ya mwili ambayo haina maslahi yoyote yale kwa mtoto,&#8221; Lahai anasema. &#8221;Masuala haya yatazingatiwa na hatua zitachukuliwa dhidi ya watu ambao wataweza kukiuka she&#341;ia.&#8221; <\/p>\n<p>&#8221;Mambo makuu katika muswada ni kuhusu kuishi, maendeleo na ulinzi kwa mtoto ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kwamba mtoto anahudhu&#341;ia katika mambo yote yanayohusu maslahi yake,&#8221; anasema. <\/p>\n<p>Muswada huo sasa hivi upo chini ya bunge la nchi hiyo na wabunge wanata&#341;ajiwa kuanza kujadili vifungu vyake kabla haujapitishwa kuwa she&#341;ia. <\/p>\n<p>Lakini kuna upinzani mkubwa kuhusu muswada huo. &#8221;Toha&#341;a kwa wanawake ni sehemu ya utamaduni wetu. Inabidi isipigwe ma&#341;ufuku kwasababu inaandaa wasichana kwa ajili ya kuolewa na kukomesha tabia ya kuwa na wapenzi wengi,&#8221; Ma&#341;ie Bangu&#341;a mwenye miaka 24 ambaye ameshapitia she&#341;ehe za unyago alikemea. <\/p>\n<p>Anashikilia kwamba &#8216;Jamii ya Bondo&#8217; na mila zake &#8221;inakuza hisia za kujitambua kwa wasichana, inawafunza kuwa na si&#341;i na kuwa na heshima.&#8221; <\/p>\n<p>Kwa upande mwingine, wale wasiokubaliana wanatoa madai ya matatizo ya kiafya kama vile utasa, kutokwa na damu bila kukoma na vifo vinaweza kujitokeza kutokana na vitendo hivyo. &#8221;Ma&#341;a nyingi wanaoendesha vitendo hivyo wanatumia vifaa visivyochemshwa kama vile viwembe katika kukata sehemu za si&#341;i za mwanamke na ni vigumu kupewa madawa baada ya kufanyiwa kitendo hicho. Nafiki&#341;i hili ni tatizo kubwa,&#8221;anasema Dominic Sesay, mwanaha&#341;akati wa haki za mtoto. <\/p>\n<p>&#8221;Hata wazo kubwa kwamba inapunguza hamu ya kufanya ngono kwa mtoto wa kike, hivyo kuzuia tabia ya kuwa na wapenzi wengi siyo ya kweli. Tumeona wanawake wengi wenye wanaume wengi miongoni mwa wale waliofanyiwa FGM kuliko hata wale ambao hawajapitia zoezi hilo. Nafiki&#341;i yote haya ni kwa ajili ya kudanganyana tu,&#8221; anasema. <\/p>\n<p>Tatizo kubwa linalokabili wanakampeni dhidi ya FGM ni wingi wa watu wasiojua kusoma wala kuandika ambao idadi yao inafikia asilimia 75 hasa miongoni mwa wakazi wa vijijini zaidi ambapo UNICEF inakadi&#341;ia kwamba asilimia 90 ya wanawake wamefanyiwa toha&#341;a. Huko vijijini toha&#341;a ni isha&#341;a ya utaji&#341;i na mamlaka. <\/p>\n<p>Wakuu wa familia wanakusanya kipato kwa mwaka mzima ili kukitumia kwa anasa wakati wa she&#341;ehe za &#8216;Bondo&#8217;. <\/p>\n<p>&#8221;Jamii ya Bondo ndiyo inayotushikilia pamoja kama jumuiya na kuima&#341;isha u&#341;ithi wa mila zetu. Hatuwezi kukaa kwa upweke na ku&#341;uhusu watu kutoka nje kuangamiza mila yetu. Tutaipigania,&#8221; Ya Ndigba Thulla, nga&#341;iba mwenye um&#341;i wa miaka 56 aliliambia shi&#341;ika la haba&#341;i la IPS katika mahojiano mjini Makeni, makao makuu ya ukanda wa kaskazini mwa nchi hiyo. <\/p>\n<p>Katika kampeni nyingine, katika kupinga kitendo hicho, sasa hivi kuna mafanikio katika kuhamasisha umma. Filamu mpya kuhusu FGM, ya kwanza kuandaliwa nchini Sie&#341;&#341;a Leone, imeanza kuonyeshwa.Ikiwa na jina la &#8216;Sebatu&#8217;s Initiation&#8217;, filamu hiyo imeandaliwa na kusimamiwa na mtengeneza filamu mwenye um&#341;i wa miaka 32 anayetambulika kama B&#341;ima She&#341;iff. <\/p>\n<p>Filamu hiyo inaonyesha pande mbili zinazopingana katika FGM na kuachia umma kutoa maamuzi. Faida yake kubwa ni kwamba waziwazi inaonyesha madha&#341;a mabaya ya FGM. <\/p>\n<p>Akishi&#341;ikisha mawazo yake kwa IPS kuhusu dhumuni la kutengeneza filamu hiyo, She&#341;iff anasema, &#8221;Haikuwa kazi &#341;ahisi. Hata kama tulikuwa katika maeneo tukipiga picha tulikuwa na matatizo na wenyeji katika kijiji ambacho wana imani za kiasili. Ilibidi kuwachanganya ma&#341;a nyingi kuhusu maana kamili ya ujumbe wa filamu.&#8221;<\/p>\n<p>She&#341;iff anasema upigaji picha wa filamu hiyo pia ulikuwa na matatizo. &#8221;Tulikwamishwa kwa makusudi na ka&#341;ibia tuzuiliwe kuionyesha katika jamii,&#8221; anasema. <\/p>\n<p>Maneno ya She&#341;iff yanaweza kuwa ya kweli. &#8216;Jamii ya Bondo&#8217; na matumizi ya FGM ma&#341;a nyingi yanatumiwa kama silaha katika kampeni za kisiasa. Wanasiasa kutoka pande zote za nchi wanapata ku&#341;a kutoka kwa wanawake kwa kutukuza mila za &#8216;Jamii ya Bondo&#8217;. <\/p>\n<p>Wakati wa uchaguzi wa &#341;ais wa mwaka 2002, mgombea mwanamke mwenye ushawishi mkubwa, ambaye pia alikuwa mwanaha&#341;akati wa jinsia Zainab Bangu&#341;a alidaiwa kupoteza ku&#341;a vibaya sana kutokana na kutuhumiwa kufanya kampeni dhidi ya FGM. <\/p>\n<p>Hivyo bado kuna tatizo. Je se&#341;ikali itakuja kuwa na dhami&#341;a ya kisiasa kulaani FGM na mila nyingine mbaya, kama inavyotakiwa kufanya katika muswada wa watoto  <\/p>\n<p>Mohamed Sankoh, mwanaha&#341;akati wa haki za binadamu bado hajashawishika. &#8220;Imebakia miaka miwili tu kufanya uchaguzi. Hivyo sioni kama viongozi wetu wa siasa wanazingatia suala hili nyeti,&#8221; anasema. <\/p>\n<p>Kwa sasa kampeni inaendelea. Lakini itashika kasi wakati wabunge watakapopitisha muswada wa watoto kuwa she&#341;ia na kuitekeleza. (END\/2005) <\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>FREETOWN, Ap&#341;ili 19 (IPS) &ndash; &#8221;Siyo kazi &#341;ahisi. Ma&#341;a nyingine nadha&#341;auliwa na kusutwa. Katika wakati unaofaa naondolewa katika mahali ambapo vitendo hivyo vinafanyika kwa wingi,&#8221; analalamika Ann Ma&#341;ie Caulke&#341; mwenye um&#341;i wa miaka 34, ambaye anaendesha kampeni kukomesha mila ya muda m&#341;efu ya Toha&#341;a kwa Wanawake (FGM). &#8221;Hapa katika mji mkuu (F&#341;eetown), vitendo hivyo havitendeki&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":23,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[1],"tags":[],"class_list":["post-937","post","type-post","status-publish","format-standard","hentry","category-headlines"],"_links":{"self":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/937","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/users\/23"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=937"}],"version-history":[{"count":0,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/937\/revisions"}],"wp:attachment":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=937"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=937"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=937"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}