{"id":3922,"date":"2012-10-02T13:40:01","date_gmt":"2012-10-02T13:40:01","guid":{"rendered":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2012\/10\/02\/tanzania-kuyafanya-maisha-ya-kijijini-kuwa-rahisi\/"},"modified":"2012-10-02T13:40:01","modified_gmt":"2012-10-02T13:40:01","slug":"tanzania-kuyafanya-maisha-ya-kijijini-kuwa-rahisi","status":"publish","type":"post","link":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2012\/10\/02\/tanzania-kuyafanya-maisha-ya-kijijini-kuwa-rahisi\/","title":{"rendered":"Tanzania: Kuyafanya Maisha ya Kijijini Kuwa Rahisi"},"content":{"rendered":"<p>DAR ES SALAAM, Oktoba 1 (IPS) &ndash; Rukia Seif ni muelimishaji &#341;ika wa masuala ya idadi ya watu, afya na mazingi&#341;a (PHE) ambaye anaifanya dhana hii &#341;ahisi ya kiuchumi, kimazingi&#341;a na kiafya kuwa &#341;ahisi kueleweka na hivyo kuwa na mantiki katika jamii anamoishi.\n<\/p>\n<p><!&ndash;&ndash;mo&#341;e&ndash;&ndash;><\/p>\n<p>Kwa kiwango chochote kile, eneo la Mkalamo ambako Rukia anaishi ni kijiji halisi kinachotegemea kilimo nchini Tanzania. Katika suala jingine muhimu kulielewa, kijiji hicho ni tofauti mno na vijiji vingine. Mkalamo inapakana na Mbuga ya Taifa ya Saadani ambayo imejaa utaji&#341;i wa baoanuwai&mdash;mbuga pekee nchini Tanzania inayopakana na baha&#341;i.<\/p>\n<p>Katika uhalisia, badala ya mbuga hii kufanya maisha kuwa &#341;ahisi, inayafanya kuwa magumu zaidi kwa wanajamii wa kijiji cha Mkalamo. Mbuga imepiga ma&#341;ufuku ukataji wowote ule wa kuni kwa ajili ya nishati na matumizi mengine, na hivyo kufanya kuwa vigumu kupata kuni za kutosha kwa ajili ya nishati ya kupikia. Pia ongezeko la idadi ya wanyama po&#341;i ma&#341;a nyingine huvamia kijiji na kuha&#341;ibu mazao ya wanakijiji hao. Akiwa kama muelimishaji &#341;ika wa PHE, Rukia anazungumza na wanajamii wenzake kuhusu masuala &#341;ahisi kuyafanya ili kubo&#341;esha maisha yao . Ujumbe wake unaeleweka vizu&#341;i: kwa kupanga familia, wanawake wanaweza kujihakikishia afya zao na za watoto wao kuwa bo&#341;a na kuamua idadi ya watoto wanaoweza kuwazaa na kuwalea. Pia kwa kutumia majiko banifu, wanawake wanaweza kutumia muda mchache wa kwenda kuokota kuni na hivyo kuwa na muda wa kufanya shughuli nyingine za nyumbani au za kuwaingizia vipato. Kwa kufanya hivyo pia watakuwa na fu&#341;sa ya kupunguza kiwango cha kuni kinachohitajika kwa ajili ya nishati na hivyo kusaidia kuifanya misitu kuwa na matumizi endelevu kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho.<\/p>\n<p>Ujumbe wa Rukia hauishii hapo. Anawapatia wanajamii wenzake ujumbe wa kujiunga na vikundi vya kuweka na kukopa vinavyojikita katika jamii. Anawahamasisha kuwa wanawake na wanaume wanapojiunga na vikundi hivyo watapata mtaji wa kuwasaidia kuwaongezea kipato katika shughuli zao za sasa au kuwa na vyanzo vipya vya kipato.<\/p>\n<p>Rukia ni mfano mzu&#341;i wa jinsi gani masuala haya madogo madogo yanaweza kubo&#341;esha maisha ya familia na wakati huo huo yakilinda mazingi&#341;a. Akiwa na um&#341;i wa miaka 36, ana watoto watatu wa kike, wenye um&#341;i wa miaka 14, 12, na mwingine mwaka mmoja na nusu.<\/p>\n<p>Rukia na mume wake, Seif Ramadhani, wanachukua hatua za kupanga familia yao. Rukia alitumia vidonge vya uzazi wa mpango kabla hawajaamua kuwa na mtoto wao wa mwisho. Kwa sasa wanatumia mipi&#341;a ya kiume kujikinga wakati Rukia akiwa ananyonyesha. Katika kazi yake, Rukia hukutana na kuzungumza na watu wengi kila siku. Anazungumzia uzazi wa mpango na kama mtu amevutiwa na mazungumzo na kutaka kuchukua hatua, anamwagiza kwenda kwa wasambazaji wa huduma za uzazi wa mpango katika jamii au kwenye zahanati ya ka&#341;ibu inayotoa huduma hizo. <\/p>\n<p>&#8220;Nazungumza na watu wa &#341;ika langu juu ya kupanga familia zao ili tuweze kuwa na maliasili za kuweza kutosheleza mahitaji ya wanakijiji ambao wanategemea katika maliasili hizi,&#8221; alisema Rukia na kuongeza, &#8220;Pia kwa kupanga familia yako, utapata muda wa kutosha wa kufanya shughuli zako nyingine.&#8221;<\/p>\n<p>Akiwa mwanachama hai wa kikundi cha kuweka na kukopa katika jamii yao, ambapo pia anafanya kazi kama mhasibu wake, Rukia anadhihi&#341;isha kuwa kweli ana muda wa kutosha wa kufanya mambo mengine. Kwa mtindo wa kuweka na kukopa, Rukia ameweza kujiongezea vyanzo vya mapato yake kwa kununua mashine ya kushona nguo na jiko banifu ambalo halitumii kuni nyingi.<\/p>\n<p>Leo hii, anazalisha kipato kutokana na ufugaji wa ng&#8217;ombe na kuku, ushonaji, utengenezaji wa mikate, uuzaji wa vinwaji ba&#341;idi na utengenezaji wa majiko banifu. Kwa ongezeko hili la kipato, Rukia na mume wake wameweza kuezeka nyumba yao kwa kutumia bati na kumpeleka binti wao wa kwanza shule ya sekonda&#341;i &mdash;mafanikio makubwa katika nchi ambayo idadi ndogo ya watoto wa kike wanaendelea na masomo yao ya sekonda&#341;i baada ya kumaliza elimu yao ya msingi.<\/p>\n<p>&#8220;Kutokana na umaskini, watoto wengi wa kike wanaacha shule kabla ya kumalizan elimu yao ya msingi. Katika baadhi ya matukio wanafanya hivyo kutokana na kupoteza wazazi wao pengine kutokana na magonjwa ya mala&#341;ia, VVU\/UKIMWI au magonjwa mengine. Wengine ni maskini mno kumudu kununua sa&#341;e za shule, vitabu au kumudu usafi&#341;i wa kwenda shule. Wengine wana mzigo mkubwa wa kazi za nyumbani, au katika nyumba ya ji&#341;ani, wakifanya kazi kwa ajili ya kusaidia kuendesha maisha yao na hivyo kukosa muda wa kwenda shule,&#8221; linasema shi&#341;ika la Nu&#341;tu&#341;ing Minds katika tovuti yake.<\/p>\n<p>Rukia anaonyesha majiko yake banifu mawili ambayo huyatumia kwa kuokea mikate na keki. Jiko moja ni &#341;ahisi ambalo limetengenezwa kwa udongo na hulitumia kwa kupikia nyumbani kwake. Majiko ya udongo ambayo yanagha&#341;imu chini ya dola za Kima&#341;ekani 2, yameanza kuwa maa&#341;ufu katika jamii. Linaokoa matumizi ya kuni nyingi, linatoa moshi mchache na hivyo kupunguza hata&#341;i za kiafya zinazotokana na moshi na linatumia muda mchache kuivisha chakula. <\/p>\n<p>&#8220;Naweza hata kuvaa nguo zangu nzu&#341;i na kupaka &#341;angi za mdomoni wakati wa kutumia jiko hili kwasababu halitoi moshi,&#8221; anaelezea Rukia huku akicheka. <\/p>\n<p>Kutokana na kuona faida za majiko banifu, Rukia amewahamasisha watoaji huduma za uzazi wa mpango katika jamii na viongozi wa vijiji vitano kujiunga na timu ya watu wanaotangaza teknolojia ya majiko banifu. Yeye amekuwa mfano mzu&#341;i wa watu ambao wanafanya kwa vitendo kile wanachohubi&#341;i. Anabo&#341;esha maisha yake na ya familia, anasaidia wengine kujifunza kutoka kwake na kuhifadhi maliasili ambazo ka&#341;ibu kila mmoja katika jamii ya kijiji cha Mkalamo anazitegemea. *Makala hii hapo awali iliandikwa na Elin To&#341;ell wa Kituo cha Rasilimali za Pwani cha Chuo Kikuu cha Kisiwa cha Rhode (URI&ndash;CRC) ambacho hutoa msaada wa kiufundi kwa Shi&#341;ika la Kuhifadhi Mazingi&#341;a ya Ukanda wa Pwani (TCMP) katika utekelezaji wa m&#341;adi wa Watu, Afya na Mazingi&#341;a na mi&#341;adi mingine ya hifadhi ya mazingi&#341;a chini ya ufadhili wa USAID. <\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>DAR ES SALAAM, Oktoba 1 (IPS) &ndash; Rukia Seif ni muelimishaji &#341;ika wa masuala ya idadi ya watu, afya na mazingi&#341;a (PHE) ambaye anaifanya dhana hii &#341;ahisi ya kiuchumi, kimazingi&#341;a na kiafya kuwa &#341;ahisi kueleweka na hivyo kuwa na mantiki katika jamii anamoishi. Kwa kiwango chochote kile, eneo la Mkalamo ambako Rukia anaishi ni kijiji&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":536,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[1],"tags":[],"class_list":["post-3922","post","type-post","status-publish","format-standard","hentry","category-headlines"],"_links":{"self":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3922","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/users\/536"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=3922"}],"version-history":[{"count":0,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3922\/revisions"}],"wp:attachment":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=3922"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=3922"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=3922"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}