{"id":3820,"date":"2012-03-16T13:40:01","date_gmt":"2012-03-16T13:40:01","guid":{"rendered":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2012\/03\/16\/wanafunzi-wa-senegal-wataka-rais-kuachia-madaaka\/"},"modified":"2012-03-16T13:40:01","modified_gmt":"2012-03-16T13:40:01","slug":"wanafunzi-wa-senegal-wataka-rais-kuachia-madaaka","status":"publish","type":"post","link":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2012\/03\/16\/wanafunzi-wa-senegal-wataka-rais-kuachia-madaaka\/","title":{"rendered":"Wanafunzi wa Senegal Wataka Rais Kuachia Mada&#341;aka"},"content":{"rendered":"<p>DAKAR, Machi 16 (IPS) &ndash; Ma&#341;afiki wa mwanafunzi aliyeuawa katika maandamano nchini Senegal, Mamadou Diop, wanasema kuwa kuuawa kwa mwanafunzi wa shahada ya pili mwenye um&#341;i wa miaka 32 ni kinyume na haki za binadamu na ndiyo maana wanapinga Rais Abdoulaye Wade kutokugombea tena u&#341;ais kwa ma&#341;a ya tatu.\n<\/p>\n<p><!&ndash;&ndash;mo&#341;e&ndash;&ndash;><\/p>\n<p>Mwezi Janua&#341;i 31, wanaha&#341;akati wa upinzani na waandamanaji, ikiwa ni pamoja na wanafunzi, walikusanyika katika eneo la Place de Obelix kupaza sauti zao kuonyesha hasi&#341;a waliyokuwa nayo kwa Ba&#341;aza la Kikatiba kumhalalisha Wade kugombea u&#341;ais kwa ma&#341;a ya tatu. Rais huyo anayemaliza muda wake ana um&#341;i wa miaka 85 na ameitawala Senegal tangu mwaka 2000.<\/p>\n<p>Maandamano ya kumpinga Wade asigombee tena yaligeuka kuwa ghasia na mwanafunzi mmoja, Diop, aliuawa. Rafiki wa ka&#341;ibu wa Diop na mwanafunzi mwenzake ambao wapo katika da&#341;asa moja, Baca&#341;y Sejnane mwenye um&#341;i wa miaka 29, aliiambia IPS kuwa walimuona &#341;afiki wao akifa&#341;iki dunia kwenye kituo cha televisheni. <\/p>\n<p>&#8220;Niliona ga&#341;i kubwa la polisi likika&#341;ibia mahali ambapo kusanyiko la watu lilikusanyika, na kuona mtu akiwa kwenye sakafu. Alija&#341;ibu kunyanyuka lakini hakuweza. Ma&#341;a nikana ga&#341;i likiendeshwa juu yake,&#8221; alisema Sejnane. &#8220;Ndipo nikaona jina lake kwenye televisheni kuwa alikuwa ni Mamadou Diop, &#341;afiki wangu.&#8221; Kwa mujibu wa Shi&#341;ika la Msalaba Mwekundu la Senegal, ga&#341;i hilo lililopita juu ya Diop lilikuwa la kumwagia waandamanaji maji.<\/p>\n<p>Diop alikuwa akikamilisha Shahada yake ya pili katika Fasihi ya Kisasa katika Chuo Kikuu cha Sheik Anta Diop, na alikuwa mfuasi mzu&#341;i wa kikundi maa&#341;ufu cha Mau&#341;ide, sehemu ya udugu wa Kiislam wenye wafuasi wengi nchini Senegal. <\/p>\n<p>Alikuwa na mume na mabinti wawili wadogo. Alipenda kujifunza na alikuwa kiongozi katika da&#341;asa lake na alifanya kazi bila kuchoka kubo&#341;esha mazingi&#341;a ya kujifunzia chuoni. <\/p>\n<p>&#8220;Alikuwa akipingana na kukosekana kwa haki,&#8221; alisema Sejnane, &#8220;Hiyo ndiyo sababu alikuwepo katika eneo la Place de Obelix.&#8221; <\/p>\n<p>Diop alikuwa mwanafunzi anayejulikana sana katika chuo, hivyo wakati wanafunzi waliposikia juu ya kifo chacke, walikusanyika katika kikundi na kuandamana katika hospitali ambako mwili wake ulihifadhiwa. Polisi waliwanyamazisha na hivyo mapigano yakaanza.<\/p>\n<p>Mazingi&#341;a ambayo Chuo Kikuu cha Sheik Anta Diop kipo yalishuhudia mazingi&#341;a kama ya vita vya wenyewe kwa wenyewe wakati wa maandamano. Wanafunzi walijaa katika baadhi ya mitaa wakitumia kila wanachohitaji; mawe makubwa, madogo, na hata masanduku ya mbao yanayotumiwa katika madukakatika mitaa yenye wafanyabiasha&#341;a wengi.<\/p>\n<p>Tangu kuanza kwa maandamano Jan. 27, yaliyoongozwa na June 23 Movement (M23), wanaha&#341;akati vijana na mashi&#341;ika ya ki&#341;aia, watu wanne ikiwa ni pamoja na polisi wamepoteza maisha yao na wengine kadhaa wameje&#341;uhiwa na polisi, lili&#341;ipoti Shi&#341;ika la Msalaba Mwekundi la Senegal.<\/p>\n<p>&#8220;Nadhani kuwa watu wana hasi&#341;a kwasababu walijua kuwa Rais Abdoulaye Wade hawezi kuchukua mada&#341;aka mengine,&#8221; alisema Ch&#341;ystelle Ndaya ambaye ni mwanafunzi wa zamani wa chuo kikuu, ambaye kwa sasa ni mwandishi wa kujitegemea.<\/p>\n<p>&#8220;Rais Abdoulaye Wade ni mzee mno na lazima aondoke. Hana mawazo kama ya vijana. Watu wanataka mabadiliko.&#8221;<\/p>\n<p>&#8220;Ni ma&#341;a ya kwanza tumeanza kuona wanafunzi wakiandamana kama hivi,&#8221; alisema hata haamini.<\/p>\n<p>Uamuzi wa Ba&#341;aza la Mahakama, ambalo pia limetupilia mbali uhalali wa mwanamuziki wa kimataifa Youssou N&#8217;dou&#341; kugombea nafasi hiyo, imewakasi&#341;isha watu wengi nchini Senegal.<\/p>\n<p>Kwa kuongeza, katika kipindi cha miaka mitatu hadi mitano ya utawala wa Wade maisha yameendelea kuzidi kuwa magumu kwa wananchi wengi wa Senegal. Gha&#341;ama za bidhaa za kawaida zimeongezeka zaidi ya ma&#341;a mbili. Mkate, mafuta, gesi, pet&#341;oli, mchele na suka&#341;i kwa sasa vinauzwa kwa bei ya juu mno katika maeneo mengi ya Senegal.<\/p>\n<p>Ndaya alisema bidhaa hizi zimezidi kuwa za ghali hadi baadhi ya familia kuweza kumudu mlo mmoja tu kwa siku.<\/p>\n<p>Lakini Mamadou Ba, ambaye anamaliza Shahada yake ya Pili ya Sosholojia katika Chuo Kikuu cha Sheik Anta Diop, anadhani suala hilo ni zaidi ya mkate na siagi. &#8220;Nadhani ni suala la kimaadili, ni kuhusu ku&#341;ejesha baadhi ya utu na heshima kutoka kwa kiongozi ambaye ameahidi kwa mdomo wake.&#8221;<\/p>\n<p>Ba alisema kuwa Wade aliahidi kuachia ngazi, kama wananchi wa Senegal wangem&#341;uhusu.<\/p>\n<p>&#8220;Nadhani wanafunzi wanahisi kuwa kama wataacha suala hilo lipite tu, bila kuonyesha hasi&#341;a yao, ni sawa na kukubali kudanganywa kwa maisha yako yote,&#8221; alisema.<\/p>\n<p>&#8220;Maandamano haya yana maanisha kuwaamsha wananchi, siyo kuwahamasisha watu kuandamana,&#8221; alisema Ba, ambaye hakushi&#341;iki katika maandamano. &#8220;Lakini nadhani wanajua kuwa kama wanaonyesha picha ya upinzani kufanya ghasia, inaweza kubadili mawazo ya watu kuhusu nani wa kumpigia ku&#341;a. Raia wa Senegal hawapendi ghasia, ni wakimya sana.&#8221;<\/p>\n<p>M23 imeahidi kuendelea na maandamano hadi Wade atakapoamua kuacha kugombea katika uchaguzi wa Feb. 26.<\/p>\n<p>Lakini Sjenane haamini kuwa maandamano haya, yanaweza kulinganishwa na waandamanaji katika ulimwengu wa Kia&#341;abu ambayo yalishuhudiwa nchini Mis&#341;i na mataifa mengine ya Af&#341;ika. Kwasababu anasema: &#8220;Raia wa Senegal hawapendi ghasia, tunaheshimu demok&#341;asia na utawala wa she&#341;ia.&#8221;<\/p>\n<p>Lakini ni utawala huo huo wa she&#341;ia ambao umemuua &#341;afiki yetu. &#8220;Polisi wapo hapa kusimamia ta&#341;atibu, na ni vema kuwa wanafanya hivyo, lakini ma&#341;a nyingine watu wanahitaji kuwa na fu&#341;sa ya kujieleza,&#8221; aliongeza. <\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>DAKAR, Machi 16 (IPS) &ndash; Ma&#341;afiki wa mwanafunzi aliyeuawa katika maandamano nchini Senegal, Mamadou Diop, wanasema kuwa kuuawa kwa mwanafunzi wa shahada ya pili mwenye um&#341;i wa miaka 32 ni kinyume na haki za binadamu na ndiyo maana wanapinga Rais Abdoulaye Wade kutokugombea tena u&#341;ais kwa ma&#341;a ya tatu. Mwezi Janua&#341;i 31, wanaha&#341;akati wa upinzani&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":761,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[1],"tags":[],"class_list":["post-3820","post","type-post","status-publish","format-standard","hentry","category-headlines"],"_links":{"self":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3820","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/users\/761"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=3820"}],"version-history":[{"count":0,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3820\/revisions"}],"wp:attachment":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=3820"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=3820"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=3820"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}