{"id":3494,"date":"2010-12-06T13:40:01","date_gmt":"2010-12-06T13:40:01","guid":{"rendered":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2010\/12\/06\/uganda-ufadhili-wa-kaboni-waweza-usiwe-na-faida-kwa-jumuiya-za-msituni\/"},"modified":"2010-12-06T13:40:01","modified_gmt":"2010-12-06T13:40:01","slug":"uganda-ufadhili-wa-kaboni-waweza-usiwe-na-faida-kwa-jumuiya-za-msituni","status":"publish","type":"post","link":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2010\/12\/06\/uganda-ufadhili-wa-kaboni-waweza-usiwe-na-faida-kwa-jumuiya-za-msituni\/","title":{"rendered":"UGANDA: Ufadhili wa Kaboni Waweza Usiwe na Faida kwa Jumuiya za Msituni"},"content":{"rendered":"<p>KAMPALA, Des 1 (IPS) &ndash; Uganda imeshapoteza zaidi ya hekta milioni mbili za misitu tangu mwaka 1990, zaidi kutokana na a&#341;dhi ya kilimo inayotokana na idadi ya watu wanaozidi kuongezeka ambao wengi ni wakulima wadogo. Mpango wa kufadhili misitu ili kupunguza uzalishaji wa hewa za ukaa (kaboni) unaojulikana kama REDD ma&#341;a nyingi unaonekana kama njia ya kukabiliana na uha&#341;ibifu huu, lakini kama tu faida hizi zitawafikia watu wa ngazi ya chini.\n<\/p>\n<p><!&ndash;&ndash;mo&#341;e&ndash;&ndash;><\/p>\n<p>Ka&#341;ibu moja ya tano ya hewa ya kaboni inayozalishwa duniani kote inatokana na uha&#341;ibifu wa misitu &ndash; sababu ya pili baada ya sekta ya nishati. Mpango wa REDD &ndash; ambao una maana kupunguza uzalishaji wa kaboni kupitia ukataji miti na uha&#341;ibifu wa misitu &ndash; una nia ya kuthamanisha kwa fedha kiasi cha hewa ya kaboni inayohifadhiwa katika msitu; kufadhili uhifadhi wa misitu katika nchi zinazoendelea kama Uganda kwa kuuza kaboni inayonyonywa na misitu kwa mataifa yanayozalisha kwa wingi hewa ukaa duniani.<\/p>\n<p>Kukamilisha undani wa jinsi ya kuendesha mpango huo inategemewa kuwa moja ya kazi kuu za Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabia Nchi unaoendelea sasa huko Cancun, Mexico ulioanza Nov. 29. Kuhakikisha ushi&#341;iki kamili wa watu wanaotegemea misitu kuwa moja ya changamoto za kutekeleza REDD.<\/p>\n<p>Misitu binafsi nchini Uganda <\/p>\n<p>Zaidi ya mbili ya tatu ya misitu nchini Uganda ipo katika a&#341;dhi ya watu binafsi, ikimilikiwa na wakulima wadogo au mashamba ya jumuiya. Xavie&#341; Mugumya, kiongozi wa timu ya taifa ya Mamlaka ya Misitu ya Taifa (NFA) katika Mpango wa Maendeleo ya Kaboni aliiambia IPS hifadhi ya misitu hii binafsi lazima kuwa kipaumbele cha juu.<\/p>\n<p>&#8220;Inabidi kukabiliana na hali halisi ya mambo kuwa misitu inamilikiwa na watu mmoja mmoja na jumuiya na ili REDD ifanikiwe ni lazima kuwepo na njia zilizo wazi kuleta motisha zaidi kwa watu hawa kuhifadhi misitu,&#8221; alisema Mugumya.<\/p>\n<p>U&#341;ekebishaji wa se&#341;a <\/p>\n<p>Mugumya pia ni mwendesha mazungumzo wa Uganda katika REDD, na ana kazi ya kuendeleza kile kinachojulikana kama Utaya&#341;i wa Maandalizi ya Mchanganuo. R&ndash;PP ni sehemu ya mchakato &ndash; unaofadhiliwa na Benki ya Dunia kwa dola 200,000 &ndash; ambao unaweka wazi jinsi gani wahusika wakuu katika ukataji miti wataingizwa katika mpango wa REDD; kwa kutenga bajeti, kanuni, mifumo ya ufuatiliaji, na mwongozo wa ushi&#341;ikishwaji wa jumuiya.<\/p>\n<p>Rasimu ya awali ya mchanganuo ina mapungufu.<\/p>\n<p>&#8220;[Uganda] ilikuja na mchanganuo ambao haukujitosheleza kulingana na Benki ya Dunia na tume&#341;ejea kutafuta maoni na mahitaji ya watu wanaotegemea misitu ambao mpango huu utawafaidisha au kuwategemea katika utekelezaji,&#8221; anasema David Ku&#341;eeba, mwanachama wa Chama cha Kitaifa cha Wataalam wa Mazingi&#341;a (NAPE).<\/p>\n<p>Wanajamii ambao watafaidika moja kwa moja na REDD hawajashi&#341;ikishwa kikamilifu wakati wa kuandaa &#341;asimu ya mchanganuo. Uganda imepata zaidi ya dola 185,000 kutoka se&#341;ikali ya No&#341;way kumaliza mikutano ya ushau&#341;iano.<\/p>\n<p>&#8220;Ushau&#341;iano wa awali ulifanywa na NFA, lakini sasa kutokana na fedha za No&#341;way, wameshaweka kuwa lazima kuingiza mashi&#341;ika ya ki&#341;aia katika mchakato wa ushau&#341;iano. NAPE ni moja ya washau&#341;i wataalam walioingizwa kukusanya maoni ya watu wanaoishi kuzunguka misitu katika kanda ya kati,&#8221; Ku&#341;eeba aliiambia IPS.<\/p>\n<p>Faida ndogo ya kifedha <\/p>\n<p>Wakati ikifanyia kazi upya se&#341;a za nchi, Uganda ina mifumo ya ufuatiliaji, utawala na mgawanyo wa faida katika ngazi ya jamii ikiwa ni pamoja na Mpango wa Kimataifa wa Vikundi Vidogo vya Upandaji Miti (TIST)<\/p>\n<p>David Mwayafu na Leo Peskett kutoka Umoja wa Maendeleo Endelevu Uganda alifanya tathmini ya mpango kwa vikundi vidogo vya wakulima wadogo vinavyojishughulisha na shughuli za upandaji wa miti na kilimo endelevu kwa ajili ya uuzaji wa kaboni.<\/p>\n<p>Wakulima wanapata shilingi za Uganda 35 &ndash; senti zipatazo 20 za dola za Kima&#341;ekani &ndash;kwa kila mti kwa mwaka.<\/p>\n<p>&#8220;Fiki&#341;i kama mkulima atapanda miti 400 kwa hekta moja chini ya TIST,&#8221; alisema Mwayafu, &#8220;chini ya TIST mkulima ataingiza kiasi cha miti 400 x 30 x 35 = shilingi 420,000 kwa hekta.&#8221;<\/p>\n<p>Pamoja na mata&#341;ajio makubwa &ndash; na mahitaji &ndash; kutoka kwa wakulima, hiyo inafikia tu dola 6 kwa hekta kwa mwaka &ndash; chini ya dola 200 kwa miaka 30.<\/p>\n<p>Lakini Mugumya anasema mi&#341;adi kama ya REDD itafufua sekta ya misitu nchini.<\/p>\n<p>&#8220;Tuna se&#341;a ambazo zinaweza kufufua misitu lakini utekelezaji wake unagha&#341;imu fedha na unapotengeneza bajeti hakuna anayetaka kuiangalia,&#8221; alisema. &#8220;Kikwazo kikubwa ni kuima&#341;isha se&#341;a na kuweka mazingi&#341;a ya mkakati wa motisha ambao utafanya miti kuwa na thamani zaidi inapokuwa imesimama kuliko ikiwa imeshakatwa.&#8221;<\/p>\n<p>Lengo liwe hifadhi <\/p>\n<p>Hata hivyo haya yanaweza kuwa maoni hata&#341;i. Wakati muda na &#341;asilimali zinawekezwa katika kufanyia kazi mpango wa REDD, unaweza kuonekana kuwa muhimu kukuza faida za kuhifadhi na ku&#341;ejesha misitu na miti, kama TIST inavyofanya na mi&#341;adi yao nchini Tanzania, Kenya, India na Uganda.<\/p>\n<p>Miti kuzunguka mashamba inaweza kutoa matunda na nazi ambazo zinaweza kuuzwa; inaweka kivuli kwa ajili ya mazao, inalinda a&#341;dhi kutokana na mmomonyoko wa udongo na katika baadhi ya maeneo itahifadhi &#341;utuba ya udongo. Jamii za vijijini pia zinatakiwa kutumia kwa kiasi kikubwa maeneo yenye misitu minene ambako hakuna kilimo, na kuleta mageuzi ya usimamiaji wa misitu kwa jina la ukusanyaji wa kaboni lazima kuangaliwa kwa umakini mkubwa.<\/p>\n<p>Ku&#341;eeba wa NAPE: &#8220;Lazima twende katika mazingi&#341;a na kuangalia kama watu wananunua wazo la REDD. Jinsi tunavyoingiza fedha ndivyo watu watajua na kupendekeza nini kitatokea katika kusimamia misitu, kuangalia suala la upatikanaji wa misitu na chakula, madawa ya mizizi, nguzo kwa ajili ya kujengea na masuala mengine kama utamaduni.&#8221;<\/p>\n<p>Ku&#341;eeba ana wasiwasi kuwa undani huu &ndash; ambao ni muhimu kwa walengwa wa REDD &ndash; hauungwi mkono sana na watunga se&#341;a. &#8220;Tatizo ni kwamba se&#341;ikali ipo kwa ajili ya kupata fedha. Kuna hamasa ndogo mno katika michakato ambayo itafanya mpango wa REDD kufanya kazi kwa ajili ya watu wanaotegemea misitu.&#8221;<\/p>\n<p>&#8220;Suala la usawa ni muhimu. Je fedha ambazo zinapaswa kuelekea chini kwa walengwa zitafika hasa kutokana na kiwango cha &#341;ushwa hapa &#8220;<\/p>\n<p>*Haba&#341;i hii ya IPS ni sehemu ya mfululizo wa makala za Mtandao wa Hali ya Hewa na Maendeleo ya Maa&#341;ifa &ndash; http:\/\/www.cdkn.o&#341;g.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>KAMPALA, Des 1 (IPS) &ndash; Uganda imeshapoteza zaidi ya hekta milioni mbili za misitu tangu mwaka 1990, zaidi kutokana na a&#341;dhi ya kilimo inayotokana na idadi ya watu wanaozidi kuongezeka ambao wengi ni wakulima wadogo. Mpango wa kufadhili misitu ili kupunguza uzalishaji wa hewa za ukaa (kaboni) unaojulikana kama REDD ma&#341;a nyingi unaonekana kama njia&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":786,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[1],"tags":[],"class_list":["post-3494","post","type-post","status-publish","format-standard","hentry","category-headlines"],"_links":{"self":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3494","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/users\/786"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=3494"}],"version-history":[{"count":0,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/3494\/revisions"}],"wp:attachment":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=3494"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=3494"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=3494"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}