{"id":2191,"date":"2008-06-24T13:40:01","date_gmt":"2008-06-24T13:40:01","guid":{"rendered":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2008\/06\/24\/haki-zimbabwe-seikali-yazuia-misaada-kwa-ajili-ya-watu-milioni-sita-wanaouhitaji-2\/"},"modified":"2008-06-24T13:40:01","modified_gmt":"2008-06-24T13:40:01","slug":"haki-zimbabwe-seikali-yazuia-misaada-kwa-ajili-ya-watu-milioni-sita-wanaouhitaji-2","status":"publish","type":"post","link":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2008\/06\/24\/haki-zimbabwe-seikali-yazuia-misaada-kwa-ajili-ya-watu-milioni-sita-wanaouhitaji-2\/","title":{"rendered":"HAKI&ndash;ZIMBABWE: Se&#341;ikali Yazuia Misaada kwa Ajili ya Watu Milioni Sita Wanaouhitaji"},"content":{"rendered":"<p>HARARE, Juni 18 (IPS) &ndash; Gogo Lethiwe Ncube mwenye um&#341;i wa miaka sitini anatizama ga&#341;i la mizigo kwa mbali ambalo linaendeshwa kuelekea Kituo cha Manunuzi cha Insiza, katika Jimbo la Matabeleland ya Kusini na kuanza kutabasamu.\n<\/p>\n<p><!&ndash;&ndash;mo&#341;e&ndash;&ndash;><\/p>\n<p>&#8220;Ni kwa nini ga&#341;i lile linaonekana kuwa na antenna kubwa juu yake &#8221; anauliza, huku akifutafuta macho yake kuangalia vizu&#341;i katika kasi ya Toyota. Katika kutambua kuwa ga&#341;i hilo halikuwa na antenna kubwa ya &#341;edio, ma&#341;a moja tabasamu ya Gogo Ncube inapotea ghafla. <\/p>\n<p>Antena hizo zina lengo la kuwafanya wafanyakazi wa misaada kuwasiliana na wenzao, lakini kwa upande wa Gogo Ncube na wakazi wengine wa kijijini katika Jimbo la Matabeleland ya Kusini, gaz&#341;i hizo zina maana nyingine: zinatangaza kuwa misaada ya dha&#341;ula imewasiili &ndash; zinapatikana katika maga&#341;i makubwa tu ya kubebea chakula. <\/p>\n<p>Mmoja wa watu katika kituo hicho cha kufanyia manunuzi anamwambia Gogo Ncube kuwa hana uwezekano wa kuona maga&#341;i yenye antenna kubwa katika kijiji hicho kabla ya uchaguzi uliopangwa kufanyika mwishoni mwa Juni, kulingana na am&#341;i ya se&#341;ikali. <\/p>\n<p>Baada ya dakika kadhaa za kimya na kuwaza, hatimaye alifungua mdomo na kusema: &#8220;Ni mwezi sasa tangu tulipopata msaada kwa ma&#341;a ya mwisho kutoka kwenye shi&#341;ika la misaada la Wo&#341;ld Vision. Inapaswa kuwasili muda wowote ule kuanzia sasa. Hata haiji, nitakufa. Nani atanipatia chakula  Nitawalishaje wajukuu wangu wawili  Nitampatia nini binti mgonjwa &#8221; <\/p>\n<p>O&#341;odha ya hofu zake inaonekana kutokuwa na mwisho. Gogo Ncube anaishi na wajukuu zake wa kike watatu &ndash; Themba (9), Mandla (7) na Bongiwe (4). Watoto hao walikuwa yatima miaka mitatu iliyopita wakati wazazi wao walipofa&#341;iki kutokana na magonjwa yanayohusiana na UKIMWI huku wakiachana mwezi mmoja mmoja. Mtoto mdogo zaidi kati ya watatu hao, Bongiwe, pia ni mgonjwa kutokana na kile ambacho Gogo Ncube anakiita &#8220;kufanana na kile kilichomchukua mtoto wangu wa kiume na mke wangu.&#8221; <\/p>\n<p>Gogo Ncube ni miongoni mwa wanakijiji wengi katika Jimbo la Matabeleland ya Kusini &ndash; ambalo limekumbwa na ukame katika eneo la kusini mwa Zimbabwe &ndash; ambao wameachwa bila msaada kutokana na se&#341;ikali kusimamisha mashi&#341;ika yasiyokuwa ya ki&#341;aia ambayo yanasambaza misaada katika maeneo ya kijijini. Watu wengi katika jimbo hilo kame kwa kipindi cha miaka michache iliyopita waliweza kuishi kwa msaada ya chakula kutoka kwa mashi&#341;ika kama vile Shi&#341;ika la Mpango wa Chakula Duniani, Ca&#341;e Inte&#341;national, na Wo&#341;ld Vision. Kila mwezi, kila kaya ilipokea kilo 50 za mahindi, kilo 25 za shayi&#341;i, lita 2 za mafuta ya kupikia, kilo 5 za maha&#341;age na g&#341;amu 500 za chumvi. <\/p>\n<p>Watu wengi wenye uwezo wa kufanya kazi wameondoka katika kijiji cha Avoca kuja&#341;ibu bahati zao za kuchimba dhahabu katika Mito Insiza na Umzingwane, kama kilomita 25 na 40 magha&#341;ibi mwa kijiji hicho. Wengine wamevuka mpaka na kuingia Af&#341;ika Kusini kutafuta aji&#341;a. Wale walioachwa nyuma wanaelezea jinsi gani wameweza kuishi kwa chakula cha msaada kutoka kwa mashi&#341;ika ya misaada ya kibinadamu ya kimataifa kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. <\/p>\n<p>Mwaka jana, Shi&#341;ika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) lilisema kuwa zaidi ya Wazimbabwe wanne walitegemea chakula cha msaada, na kutokana na kukosekana kwa mazao katika msimu wa kilimo idadi ina uwezekano wa kuongezeka. Mashi&#341;ika ya ki&#341;aia ya Zimbabwe, miongoni mwao likiwa ni lile la Resto&#341;ation of Human Rights in Zimbabwe (ROHR Zimbabwe) &ndash; ambalo lilianzishwa mwaka 2006 kupigania haki za binadamu na kuhusika zaidi katika masuala ya kibinadamu &ndash; linasema zaidi ya watu milioni sita nchini Zimbabwe kwa sasa wanahitaji msaada wa chakula kutokana na kukosekana kwa mazao katika msimu wa kilimo uliopita. <\/p>\n<p>Lakini katika taa&#341;ifa yake kwa mashi&#341;ika yasiyokuwa ya kise&#341;ikali ya Juni 4, Wazi&#341;i wa Utumihsi wa Umma, Kazi na Ustawi wa Jamii Nicholas Goche alisema &#8220;idadi kubwa ya NGOs zinazoshi&#341;iki katika opa&#341;esheni za misaada ya kibinadamu zinavunja ta&#341;atibu na masha&#341;ti ya usajili wao&#8221;. <\/p>\n<p>&#8220;Kama mamlaka ya udhibiti, kwa kutumia Kifungu cha (10) na Kifungu Kidogo cha (c) cha She&#341;ia ya Mashi&#341;ika ya Hisani (Su&#341;a ya 17:05), naagiza PVOs\/ NGOs zote kusitisha opa&#341;esheni zao zote hadi itakapotangazwa tena.&#8221; <\/p>\n<p>Goche alinukuliwa baadaye katika gazeti linalomilikiwa na se&#341;ikali la &#8220;He&#341;ald&#8221; akisema NGOs zilikuwa zikitumia misaada kuingilia siasa za Zimbabwe, na kwamba baadhi yao zilikuwa zikiendesha kampeni kwa ajili ya kiongozi wa chama cha Movement fo&#341; Democ&#341;atic Change (MDC) Mo&#341;gan Tsvangi&#341;ai ambaye anakabiliana na &#341;ais anayemaliza muda wake Robe&#341;t Mugabe katika du&#341;u ya pili ya uchaguzi itakayofanyika Juni 27. <\/p>\n<p>Muungano wa Mashi&#341;ika Yasiyokuwa ya Kise&#341;ikali (NANGO), shi&#341;ika linalowakilisha NGOs za ndani na kimataifa zinazoendesha shughuli zake nchini Zimbabwe, unakanusha madai hayo ya se&#341;ikali. <\/p>\n<p>&#8220;Mashi&#341;ika mbalimbali yana ta&#341;atibu zake za maadili. Maadili haya yanazuia shi&#341;ika au mtu yoyote anayeyasimamia kwa niaba ya shi&#341;ika kujiingiza katika shughuli za kisiasa,&#8221; alisema msemaji wa NANGO, Fambai Ngi&#341;ande. <\/p>\n<p>&#8220;Hatua hii itawaacha maelfu ya watu bila chanzo cha chakula, na hivyo kuwafanya kukabiliwa na njaa. Hii ni kinyume na She&#341;ia ya PVO ambayo inalinda haki za NGOs. Kwa sasa nchi hiyo haina uwezo wa kulisha wakazi wake wote. Kitu kinachosikitisha zaidi ni kwamba hatua hiyo itaathi&#341;i zaidi &#341;aia wengi wasiokua na hatia nchini humu.&#8221; <\/p>\n<p>Lakini katika mahojiano na IPS, Goche alionekana kutokutulia kuhusu hatua hiyo. &#8220;Baadhi ya mashi&#341;ika haya yaliwekeza zaidi katika mustakabali wa watu wetu kupigia kampeni upinzani. Siyo kweli kwamba kuna watu wanaokabiliwa na njaa katika maeneo ya kijijini. Kwa hakika, hali sasa inaonekana kubo&#341;eka kutokana na kwamba kwa sasa se&#341;ikali inasimamia usambazaji wa chakula kwa kupitia muundo wetu wa se&#341;ikali za mitaa,&#8221; alisema Goche. <\/p>\n<p>Msaada wa chakula kwa sasa unasambazwa na machifu wa jadi na wakuu katika jamii, ambao wanaonekana kwa wapinzani na mashi&#341;ika ya ki&#341;aia kama wafuasi wakubwa wa chama tawala cha Zimbabwe Af&#341;ican National Union Pat&#341;iotic F&#341;ont (ZANU PF). <\/p>\n<p>Msemaji wa MDC Nelson Chamisa alisema chama chake kina ushahidi dhahi&#341;i kuwa ZANU&ndash;PF kwa sasa inasambaza chakula kwa wafuasi wake tu. &#8220;Hili ni ja&#341;ibio jingine la ZANU PF kugeuza dhami&#341;a ya watu kama ilivyota&#341;ajiwa mwezi Machi 29. Mavete&#341;an na wanamgambo wa ZANU PF wamechukua kazi ya usambazaji wa chakula katika maeneo ya kijijini, na wafuasi wetu wanalazimishwa kuachana na MDC kabla ya kupatiwa msaada,&#8221; alisema Chamisa. <\/p>\n<p>Kikwazo hicho pia kinaweza kusababisha mamia ya Wazimbabwe kukosa aji&#341;a. Wiki moja baada ya kupigwa ma&#341;ufuku kwa mashi&#341;ika hayo, afisa wa shi&#341;ika la Ca&#341;e Inte&#341;national alisema wamewaita zaidi ya wafanyakazi 300 wa shi&#341;ika hilo kutoka Chivi, Mbe&#341;engwa, Shu&#341;ugwi, Gutu, Zaka, na Bikita. <\/p>\n<p>Makamu wa &#341;ais wa shi&#341;ika la ROHR nchini Zimbabwe Stend&#341;ick Zvo&#341;wadza alisema hatua hiyo ya kupiga ma&#341;ufuku mashi&#341;ika ya misaada ni kinyume cha she&#341;ia na ni ja&#341;ibio la se&#341;ikali kunyamazisha sauti pinzani. <\/p>\n<p>&#8220;Mashi&#341;ika ya kibinadamu yanafungiwa wakati ambapo watu nchini Zimbabwe wanahitaji misaada zaidi kuliko wakati wowote ule. Zaidi ya Wazimbabwe milioni sita wanahitaji msaada wa chakula; maelfu wameyahama makazi yao kutokana na ghasia zilizosababishwa na ZANU PF na majumba yamechomwa moto na hivyo kuondoa kabisa matumaini yao ya kuishi. Watu wanaoishi na VVU\/UKIMWiI walikuwa wakitegemea NGOs kuweza kupata madawa ya kuongeza muda wa kuishi ambayo hayapatikani kiu&#341;ahisi katika hospitali na kliniki za se&#341;ikali,&#8221; alisema Zvo&#341;wadza.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>HARARE, Juni 18 (IPS) &ndash; Gogo Lethiwe Ncube mwenye um&#341;i wa miaka sitini anatizama ga&#341;i la mizigo kwa mbali ambalo linaendeshwa kuelekea Kituo cha Manunuzi cha Insiza, katika Jimbo la Matabeleland ya Kusini na kuanza kutabasamu. &#8220;Ni kwa nini ga&#341;i lile linaonekana kuwa na antenna kubwa juu yake &#8221; anauliza, huku akifutafuta macho yake kuangalia&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":483,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[1],"tags":[],"class_list":["post-2191","post","type-post","status-publish","format-standard","hentry","category-headlines"],"_links":{"self":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/2191","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/users\/483"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=2191"}],"version-history":[{"count":0,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/2191\/revisions"}],"wp:attachment":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=2191"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=2191"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=2191"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}