{"id":2157,"date":"2008-05-20T13:40:01","date_gmt":"2008-05-20T13:40:01","guid":{"rendered":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2008\/05\/20\/biashara-mkutano-wa-kilele-wa-comesa-haujakamilika-kutokana-na-machafuko-ya-zimbabwe\/"},"modified":"2008-05-20T13:40:01","modified_gmt":"2008-05-20T13:40:01","slug":"biashara-mkutano-wa-kilele-wa-comesa-haujakamilika-kutokana-na-machafuko-ya-zimbabwe","status":"publish","type":"post","link":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/2008\/05\/20\/biashara-mkutano-wa-kilele-wa-comesa-haujakamilika-kutokana-na-machafuko-ya-zimbabwe\/","title":{"rendered":"BIASHARA: Mkutano wa Kilele wa COMESA Haujakamilika Kutokana na Machafuko ya Zimbabwe"},"content":{"rendered":"<p>HARARE, Mei 19 (IPS) &ndash; Zimbabwe, ambayo ipo katika mgogo&#341;o wa kisiasa na kiuchumi, imepoteza fu&#341;sa kuokoa baadhi ya hadhi yake kimataifa. Mkutano wa kilele wa 13 wa Soko la Pamoja la Kusini na Masha&#341;iki mwa Af&#341;ika (COMESA) ulipaswa kufanyika katika mji wa mapumziko wa kaskazini masha&#341;iki mwa nchi hiyo wa Victo&#341;ia Falls lakini umeahi&#341;ishwa kwa muda usiojulikana.\n<\/p>\n<p><!&ndash;&ndash;mo&#341;e&ndash;&ndash;><\/p>\n<p>Sek&#341;eta&#341;ieti ya COMESA nchini Zambia ilitoa tamko mwezi Mei 15 kushau&#341;i nchi wanachama kuahi&#341;isha mkutano huo wa kilele wa wakuu wa nchi. <\/p>\n<p>Tangazo hilo lilikuja wakati muafaka kutokana na kuwa mkutano huo wa kilele awali ulipangwa kuanza Mei 1. Baada ya chama tawala cha ZANU&ndash;PF kupoteza ku&#341;a za ubunge katika uchaguzi wa ka&#341;ibuni, matokeo ya u&#341;ais yalisitishwa na ghasia zilianza nchini humo. <\/p>\n<p>Sek&#341;eta&#341;ieti hiyo ilisema katika taa&#341;ifa yake kuwa, &#8221;kufuatia ushau&#341;iano kati ya se&#341;ikali ya Zimbabwe na sek&#341;eta&#341;ieti ya COMESA, sasa imekubaliwa kuwa mikutano, ambayo ilipangwa kufanyika Mei 1 hadi 15, 2008 katika mji wa Victo&#341;ia Falls, Zimbabwe, iahi&#341;ishwe hadi ta&#341;ehe itakayotangzwa baadaye.&#8221; <\/p>\n<p>Sek&#341;eta&#341;ieti ilielezea juu ya uamuzi wake kwa kusema kuwa ilitaka kuipatia nchi yenye matatizo ya kusini mwa Af&#341;ika muda wa kukamilisha mchakato wake wa uchaguzi mwezi Juni 27 ambapo du&#341;u ya pili inayosubi&#341;iwa kwa hamu ya uchaguzi wa &#341;ais itakapofanyika. Haikuzungumzia lolote kuhusu kuhamishia mkutano huo kwenye nchi nyingine.<\/p>\n<p>Hata hivyo, hali hii inaleta fu&#341;aha katika uso wa tafsi&#341;i ya se&#341;ikali ya ZANU&ndash;PF ya uamuzi kuwa Zimbabwe inapaswa kuwa mwenyeji wa mkutano wa 13. <\/p>\n<p>&#8221;Hakuna ukatili wa mataifa ya magha&#341;ibi, ambayo bila kuchoka yanaendesha kampeni ya kuitenga Zimbabwe, utaweza kushawishi maamuzi ya vyombo kama COMESA,&#8221; alisema wazi&#341;i wa mambo ya kigeni wa Zimbabwe, Simba&#341;ashe Mumbengegwi. Aliyasema hayo wakati kuchaguliwa kwa taifa hilo kuwa mwenyeji kulipojulikana kwa umma. <\/p>\n<p>&#8221;Kuahi&#341;ishwa ni taa&#341;ifa ya kutokuwa na imani na Zimbabwe,&#8221; mchambuzi wa masuala ya kiuchumi wa mjini Ha&#341;a&#341;e John Robe&#341;tson aliiambia IPS. Ni dalili nyingine mbaya ya nchi hiyo baada ya kuwa mwenyeji wa maonyesho ya kibiasha&#341;a yasiyokuwa na mvuto mwezi uliopita ambayo yalishindwa kuvutia mataifa taji&#341;i. <\/p>\n<p>Mkutano wa kilele wa Victo&#341;ia Falls ulipaswa kujadili eneo la biasha&#341;a hu&#341;ia katika kanda; maendeleo ya mazungumzo ya mikataba ya ushi&#341;ikiano wa kiuchumi (EPA) na Umoja wa Ulaya (EU); na amani na usalama katika kambi hiyo. Kuhusu suala la amani na usalama, Zimbabwe moja kwa moja ingekuwa mada katika mkutano. <\/p>\n<p>Mkutanbo huo pia ulita&#341;ajiwa kujadili uwezekano wa kuunda umoja wa fo&#341;odha ifikapo mwishoni mwa mwaka huu kukuza biasha&#341;a ya kikanda na vitega uchumi. <\/p>\n<p>Jukwaa la vingozi wa biasha&#341;a lingefanyika sanja&#341;i na mkutano huo. Zaidi ya viongozi wa biasha&#341;a 500 walita&#341;ajiwa kutoka katika mataifa wanachama wa COMESA. <\/p>\n<p>Jukwaa hilo lilionekana kama fu&#341;sa ya jumuiya ya wafanyabiasha&#341;a wa COMESA kukutana na kujadili masuala ya pamoja kuhusu kuima&#341;isha, kukuza na kupanua biasha&#341;a na vitega uchumi katika kanda. <\/p>\n<p>Mkutano huo pia ulita&#341;ajiwa kuwa fu&#341;sa kwa Zimbabwe kuonyesha upande tofauti wa dunia kutokana na kwamba imekuwa ikitazamwa na dunia kutokana na mabaya tu. <\/p>\n<p>&#8221;Ni vema kwamba Zimbabwe ni mwenyeji wa mkutano wa 13. Huu ni wakati wenu kuonyesha nchi yenu,&#8221; alisema mkuu wa utawala katika sek&#341;eta&#341;ieti ya COMESA, Victo&#341;ia Mwewa, mwaka jana alipofanya tathmini ya maandalizi ya nchi hiyo kuwa mwenyeji wa mkutano huo mkubwa. <\/p>\n<p>Tume ya Ushindani na Ushu&#341;u ya Zimbabwe ilikubaliana na maoni ya Mwewa, kwa kusema kuwa mkutano huo wa kilele ungesaidia sekta ya viwanda nchini humo kukuza hadhi yake. &#8221;Tukio hili linge&#341;uhusu wahusika katika sekta ya viwanda kuongeza wigo wao wa kuuza bidhaa nje na kujipenyeza katika masoko mapya kutokana na kwamba bidhaa za ndani zinahitajika kwa wingi katika kanda nzima,&#8221; Alexande&#341; Kabuda, mku&#341;ugenzi wa tume hiyo aliiambia IPS. <\/p>\n<p>Mwanauchumi wa Bulawayo E&#341;ic Bloc alikubaliana na Kabuda, na kuongeza kuwa Zimbabwe ingeweza kupata fu&#341;sa ya kuonyesha bidhaa zake na huduma katika sekta ya utalii. <\/p>\n<p>Mchambuzi wa uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Zimbabwe alisema kuwa, &#8221;wakati ushindani wa Zimbabwe umepungua kwa kiasi kikubwa katika kipindi cha miaka saba iliyopita, ina uwezo wa ku&#341;ejesha fu&#341;sa sawa au ya juu zaidi katika ushindani na washi&#341;ika wa kanda ya COMESA, kama hali itaweza kubo&#341;eka&#8221;. Mchambuzi huyo aliongea kwa masha&#341;ti ya kutokujulikana. <\/p>\n<p>Kwa sasa Zimbabwe inashikilia umakamu mwenyekiti wa chombo hicho cha kikanda na ilita&#341;ajiwa kushika uenyekiti baada ya mkutano huo wa kilele. Hii inaweza kubadilika kama meza za kisiasa zitageuzwa baada ya ku&#341;udiwa kwa uchaguzi, ambao una uwezekano mkubwa wa kiongozi wa chama cha upinzani cha Movement fo&#341; Democ&#341;atic Change (MDC) Mo&#341;gan Tsvangi&#341;ai kushinda. <\/p>\n<p> MDC imekuwa ikipinga kuchukua majukumu hayo makubwa kutokana na mahitaji ya kifedha ambayo inasema Zimbabwe haiwezi kukidhi wakati inakabiliwa na kushuka kwa uchumi wake. <\/p>\n<p>Soko la Pamoja la Kusini na Masha&#341;iki mwa Af&#341;ika linataka kukuza ushi&#341;ikiano wa kiuchumi wa kanda kwa njia ya biasha&#341;a na vitega uchumi. Kwa sasa kuna nchi wanachama 19, ambapo kuna soko la wakazi milioni 319. Jumla ya biasha&#341;a kati ya mataifa hayo inafikia thamani ya dola bilioni 159 kwa mwaka na bidhaa zinazouzwa nje zinafikia dola bilioni 82 kwa mwaka. <\/p>\n<p>Chombo hicho cha kikanda kina thamani ya pato la dola bilioni 275 kwa mwaka. <\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>HARARE, Mei 19 (IPS) &ndash; Zimbabwe, ambayo ipo katika mgogo&#341;o wa kisiasa na kiuchumi, imepoteza fu&#341;sa kuokoa baadhi ya hadhi yake kimataifa. Mkutano wa kilele wa 13 wa Soko la Pamoja la Kusini na Masha&#341;iki mwa Af&#341;ika (COMESA) ulipaswa kufanyika katika mji wa mapumziko wa kaskazini masha&#341;iki mwa nchi hiyo wa Victo&#341;ia Falls lakini umeahi&#341;ishwa&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":316,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[1],"tags":[],"class_list":["post-2157","post","type-post","status-publish","format-standard","hentry","category-headlines"],"_links":{"self":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/2157","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/users\/316"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=2157"}],"version-history":[{"count":0,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/2157\/revisions"}],"wp:attachment":[{"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=2157"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=2157"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"http:\/\/ipsnews.net\/swahili\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=2157"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}